Psalms 25:1-2
Kumwomba Mungu Uongozi Na Ulinzi
(Zaburi Ya Daudi)
1 ▼
▼ Zaburi hii imetungwa kila mstari ukianzia na herufi ya alfabeti ya Kiebrania zikifuatana tangu Aleph (A) hadi Taw (T); zote ni 22.
bKwako wewe, Ee Bwana,nainua nafsi yangu,
2 cni wewe ninayekutumainia,
Ee Mungu wangu.
Usiniache niaibike,
wala usiache adui zangu wakanishinda.
Copyright information for
SwhKC