Psalms 25:1-2

Kumwomba Mungu Uongozi Na Ulinzi

(Zaburi Ya Daudi)


1
Zaburi hii imetungwa kila mstari ukianzia na herufi ya alfabeti ya Kiebrania zikifuatana tangu Aleph (A) hadi Taw (T); zote ni 22.
bKwako wewe, Ee Bwana,
nainua nafsi yangu,

2 cni wewe ninayekutumainia,
Ee Mungu wangu.
Usiniache niaibike,
wala usiache adui zangu wakanishinda.
Copyright information for SwhKC